Mungu hutuma manabii kutufundisha jinsi ya kumuabudu. Na kila nabii alitumwa kwa kikundi fulani cha watu ..

Baada ya nabii kufa na watu kupotosha njia Mungu hutuma nabii mwingine Nakadhalika...

Manabii wote walikuja na ujumbe huo huo, kwamba hakuna mungu anayestahili kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mungu Mmoja wa Kweli.

Manabii wote walimuwakilisha Mungu yule yule, walikuja na ujumbe ule ule na walikuwa ni muendelezo wa aliyepita katika kutuongoza kufuata mafundisho ya Mwenyezi Mungu.

Kila nabii aliongoza watu wake katika njia ya Mungu kwa wakati wake.

Ibrahim na Nuhu waliwaongoza watu wao katika njia katika wakati wao. Na hivyo ndivyo Yesu, Musa na Muhammad.

Inaeleweka?