Nabii wa mwisho aliyekuja baada ya Yesu ni Nabii Muhammad, iwe juu yake amani.

👉 Yeye ndiye Mtume wa mwisho katika safu ndefu ya Manabii waliyotumwa ili kuwaita watu kwenye utii na ibada ya Mungu Mmoja peke yake ('Allah' kwa Kiarabu).

👉 Yesu na Muhammad ni waja wa Mwenyezi Mungu, wameletwa kuwaongoza watu kumuabudu Mwenyezi Mungu.

Muhammad ametumwa kwa wanaadamu wote kwa sababu yeye ndiye mjumbe wa mwisho wa Mungu.

👉 Kukubali Muhammad kuwa ni Nabii wa mwisho na kufuata mafundisho yake, inamaanisha kuwa pia unamuamini Yesu, Musa na manabii wote wa zamani.

Je! Unakubali?

Ikiwa ndio 👉 tekeleza nguzo ya kwanza ya Uislam